Meneja Msaidizi wa Benki ya Azania Joseph Msase akikabidhi fomu ya Akaunti ya Dhamira kwa mmoja wa wateja wa Benki hiyo Benjamini Mengi.
Mteja wa Benki ya Azania Benjamini Mengi akionesha fomu yake baada ya kujiunga na Akaunti ya Dhamira ,wengine ni wafanyakazi wa Benki ya Azania tawi la Moshi,Hajira Mmambe(mwenye kilemba) na familia ya Mengi.
Mtoa huduma kwa wateja katika Benki ya Azania tawi la Moshi ,Happy Msengi akimshawishi Mama Mengi kufungua akaunti ya Dhamira iliyoanzishwa katika Benki hiyo.
Meneja Msaidizi Benki ya Azania Joseph Msese(katikati) akiwa na mtoa huduma kwa wateja Happy Msese wakijaribu kumshawishi kijana Benson Benjamini kufungua akaunti ya Dhamira.
Meneja wa Azania Bank tawi la Moshi ,Hajira Mmambe(kushoto) akiendelea kushawishi wateja wapya kujiunga na Akaunti ya Dhamira iliyoanzishwa katika benki hiyo.
Mtoa huduma kwa wateja katika benki ya Azania Mary Machange akiandika maelezo ya mteja  Benki Dowald Mushi alipokuwa akifungua Akaunti ya Dhamira katika tawi la Benki hiyo la Moshi.Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii kanda ya kaskazini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...