Kikundi
cha Wakulima cha Umoja Rika wakiinua majembe juu kama ishara ya
kumkaribisha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana aliyefika
kwenye shamba hilo la ushirika la Mkotokuyana wilaya ya Nachingwea.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimia wakulima wa kikundi
cha Umoja Rika kilichopo Mkotokuyana,Nachingwea mkoani Lindi.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiendesha treka kulima shamba la
ushirika la Mkotokuyana huku akiwa amempakia Mbunge wa Jimbo la
Nachingwea Ngugu Mathias Chikawe.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kung'oa visiki katika shamba la Mkotokuyana wilayani Nachingwea.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiangalia korosho kwenye
ghala ambalo hapo awali ilikuwa kiwanda cha korosho cha Nachingwea .
Kiwanda cha Mafuta ya Ufuta Ilulu Nachingwea ambacho sasa kinatumika kama ghala ya kuhifadhia vifaa vya umeme.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi wa kijiji
cha Mandai ambao walieleza shida ya maji,zahanati pamoja na ofisi ya
Serikali .
tumwogope Mungu ,kinana umerudisha heshima ya CHAMA,ila Nape bado unahitaji kujifunza siasa bora ikoje.
ReplyDelete