Meneja
Masoko wa Airtel Tanzania, Aneth Muga (kushoto) akikabidhi jezi kwa
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Yunus Mgaya,
wakati Airtel ilipokikabidhi chuo hicho msaada wa vifaa vya michezo
vyenye thamani ya milioni 15/-, jijini Dar es Salaam jana, kwa ajili ya
kuendesha mashindano yatakayoshirikisha vitivo mbalimbali inayotarajiwa
kuanza Jumatatu Desema 08 mwaka huu. Wanaoshuhudia ni Meneja Uhusiano wa
Airtel, Jackson Mmbando (wa pili kushoto) na Mratibu wa Michezo wa Chuo
hicho, Dk. Crispian Maro.
Meneja
Masoko wa Airtel Tanzania, Aneth Muga (wa pili kushoto) akikabidhi jezi
kwa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Yunus
Mgaya, wakati Airtel ilipokikabidhi chuo hicho msaada wa vifaa vya
michezo vyenye thamani ya milioni 15/-, jijini Dar es Salaam jana, kwa
ajili ya kuendesha mashindano yatakayoshirikisha vitivo mbalimbali
inayotarajiwa kuanza Jumatatu Desema 08 mwaka huu. Wanaoshuhudia ni
Waziri wa Michezo wa Serikali ya Wanafunzi ya chuo hicho (DARUSO),
Stanry Julius, Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando (wa tatu
kushoto) na Mratibu wa Michezo wa Chuo hicho, Dk. Crispian Maro.
Meneja Masoko wa Airtel Tanzania, Aneth Muga (wa pili kushoto) akikabidhi kikombe kwa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Yunus Mgaya, wakati Airtel ilipokikabidhi chuo hicho msaada wa vifaa vya michezo vyenye thamani ya milioni 15/-, jijini Dar es Salaam jana, kwa ajili ya kuendesha mashindano yatakayoshirikisha vitivo mbalimbali inayotarajiwa kuanza Jumatatu Desema 08 mwaka huu. Wanaoshuhudia ni Waziri wa Michezo wa Serikali ya Wanafunzi ya chuo hicho (DARUSO), Stanry Julius (kushoto), Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando (wa tatu kushoto) na Mratibu wa Michezo wa Chuo hicho, Dk. Crispian Maro.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...