"Balozi wa Tanzania kwenye Nchi za Nordic,  na Baltic Mheshimwa Dora Mmari Msechu aliwasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Rais wa Finland, Mheshimiwa Sauli Niinistö  jijini Helsinki Alhamisi 4 Desemba, 2014"
 "Balozi wa Tanzania kwenye Nchi za Nordic,  na Baltic Mheshimwa Dora Mmari Msechu katika picha ya pamoja na   Rais wa Finland, Mheshimiwa Sauli Niinistö  baada ya kuwasilisha hati zake za utambulisho jijini Helsinki Alhamisi 4 Desemba, 2014. Kulia ni Afisa wa Ubalozi ni Yusuph Mndolwa
 "Balozi wa Tanzania kwenye Nchi za Nordic,  na Baltic Mheshimwa Dora Mmari Msechu akipeana mikono na Rais wa Finland, Mheshimiwa Sauli Niinistö  baada ya kuwasilisha hati zake za utambulisho Alhamisi 4 Desemba, 2014.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Balozi Dora kwa kuangalia picha hizi tunajisikia tunawakilishwa vizuri.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...