

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hongera sana Idrisa kwa kutuwakilisha WaTz
ReplyDeletewadau
FFU -Ughaibuni
Hongera sana Idris kwa ushindi wako mnono BBA. Kwa mara nyingine tena Tanzania imeonekana tena katika ramani ya dunia. Ni hivi juzi tu Diamond Platnumz kajizolea tuzo katika sanaa ya muziki.
ReplyDeleteHongereni sana Idris Sultan na Nasib Abdul kwa kutupeperushia vyema kabisa bendera ya Taifa letu la Tanzania. Mungu awabariki. Nina hakika hata Mhe. JK atakuwa amezidi kupata nafuu kubwa katika maradhi kutokana na furaha aliyonayo kutokana na ushindi wenu, furaha hii ni kubwa sana.
Mungu Ibariki Tanzania!
Peters Mhoja - Sweden
SIO DOLA ELFU TATU (3,000.00) NI DOLA LAKI TATU (300,000.00)
ReplyDeleteIngawa mkwanja atachukua Idris na kufaidi yeye na ukoo wake na marafiki :) hakika ushindi huu ni wa kujivunia sisi wote waTanzania, kwani kwa mara nyingine tena tumesikika katika vyombo vya habari vya kimataifa. Umecheza mchezo vyema na HONGERA sana Ndugu Idris
ReplyDeleteKutoka Ughaibuni
TANZANIA TANZANIA TANZANIA TANZANIA TANZANIA TANZANIA TANZANIA TANZANIA TANZANIA TANZANIA TANZANIA TANZANIA
ReplyDeletehaya tunawasubiri huku na kaka yetu Mwigulu tukate kodi zetu kwenye hicho kipato halali.
ReplyDeleteHongera sana bro
ReplyDelete