Mkurugenzi Mkuu wa hoteli ya Gold Zanzibar Beach hotel Bw. Andrea Lottle akishirikiana na Wafanyakazi wa hoteli hiyo wakisherehekea kwa kuzima mshumaa kuadhimisha miaka miwili ya hoteli hiyo iliofanyika katika ukumbi wao kNungwi Kwenda.
Wageni wa hoteli ya Gold Zanzibar Beach wakipata picha za kumbukumbu ya hafla hiyo ya sherehe za kutimia miaka miwili ya hoteli hiyo iliofanyika katika ukumbi wake kendwa Zanzibar.
Msanii wa kitaliano Antonela Mignlore akionesha sanaa za utamaduni wa Kitalioano katika hafla hiyo ya kutimiza miaka miwili ya Gold Zanzibar Beach hotel.
Wapishi wakiwa katika harakati za kutowa huduma kwa wageni wao wakati wa hafla ya kusherehekea miaka miwili
Sehemu ya wageni waalikwa katika hafla hiyo ya kutimiza miaka miwili ya hoteli ya Gold Zanzibaer Beach Kendwa Zanzibar, wakimsikiliza Mkurugenzi Kuu Mr Andrea Lottle, akizungumza katika hafla hiyo . Wafanyakazi wa Gold Zanzibar Beach Hotel wakiwa na keki yao wakisherehekea miaka miwili ya hoteli hiyo tangu kufunguliwa na kutowa huduma kwa Watalii wanaotembelea Zanzibar wakifurahia wakiwa na Keki yao katika ukumbi wa hafla hiyo iliofanyika katika hoteli hiyo na kuhudhuriwa na Wageni mbalimbali na Maofisa wa Sekta ya Utalii Zanzibar na Wamiliki wa Mahoteli ya Utalii Zanzibar.
Wapishi wakiwa katika harakati za kutowa huduma kwa wageni wao wakati wa hafla ya kusherehekea miaka miwili
Sehemu ya wageni waalikwa katika hafla hiyo ya kutimiza miaka miwili ya hoteli ya Gold Zanzibaer Beach Kendwa Zanzibar, wakimsikiliza Mkurugenzi Kuu Mr Andrea Lottle, akizungumza katika hafla hiyo . Wafanyakazi wa Gold Zanzibar Beach Hotel wakiwa na keki yao wakisherehekea miaka miwili ya hoteli hiyo tangu kufunguliwa na kutowa huduma kwa Watalii wanaotembelea Zanzibar wakifurahia wakiwa na Keki yao katika ukumbi wa hafla hiyo iliofanyika katika hoteli hiyo na kuhudhuriwa na Wageni mbalimbali na Maofisa wa Sekta ya Utalii Zanzibar na Wamiliki wa Mahoteli ya Utalii Zanzibar.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...