Rais Jakaya Mrisho kikwete katika picha ya pamoja na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Profesa Mussa Juma Assad na wafanyakazi wa ofisi ya CAG  Ikulu jijini Dar es salaam leo
 Rais Jakaya Mrisho kikwete akiwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa  Hesabu za Serikali (CAG) Profesa Mussa Juma Assad na CAG Mstaafu Bw. Ludovick Utouh Ikulu jijini Dar es salaam leo.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Ankal,
    Naomba picha kama hizi ambazo ni kumbukumbu muhimu kwa wateuliwa uwe unawatoa hao jamaa wanao zagaa zagaa huko nyuma!!! Ushauri kutoka kwa mdau wa globu yetu!

    ReplyDelete
  2. hongera sana kaka

    ReplyDelete
  3. Kweli kabisa. Sasa kama huyo Wasira na jamaa wa magereza huko nyuma wanaohusika vipi!

    ReplyDelete
  4. Chezea ESCROW...congrats CAG mpya!

    ReplyDelete
  5. Hongera Prof. Assad mwalimu wangu,jamaa yuko straightforward hana longolongo,mtakaokuwa chini ya uongozi wake mjiandae kufanya kazi kwa bidii sana bila hivyo hamtamwelewa hata kidogo!

    ReplyDelete
  6. Kaole Group inaundwa msije mkashangaa CAG mpya akaja kusema ktk ESCROW hakuna pesa za Watanzania! Alafu CAG anayeondoka akaonekana mzushi, Pia angalia sura ya Mh Ludo inaonekana haina furaha je kuna nini?!

    Big up Ludo, Watanzania wote wanatamani kama wangekuongezea muda tu kama wafanyavyo kwa wengine...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...