Ni miaka 9 tangu ulipotangulia katika makazi yako ya milele                                         siku ile ya huzuni 5 Dec 2005.                                                                
Tunakumbuka kwa huzuni upendo na uongozi wako katika familia.  
                Miongozo na mapenzi makubwa uliyotupa ndio yanayotuwezesha kusimama na kumsifu Bwana kila siku. 

Unakumbukwa sana na mke wako Hidaya Kezirahabi,  watoto wako wapenzi na wajukuu, ndugu, jamaa na marafiki wote.

“Bwana akupatie pumziko la milele, na mwanga wa milele akuangazie, upumzike kwa amani.”

“Bwana alitoa na bwana alitwaa. Jina lake lihimidiwe milele”


                                                                                             

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...