Mwanamitindo Matukio Chuma kulia
akizungumza na wahandishi wa habari wakati wa kutangaza upeperushwaji
wa bendera ya tanzania katika nchi ya mozambique fashion week ambayo
mbunifu wa mavazi Manju Msita atashiriki na kupeperurusha bendera ya
Tanzania kushoto ni mwanamitindo Vivian Williams ambaye anafanya
shughuli zake za uwanamitindo nchini Barcelona,Spain.
Home
Unlabelled
MBUNIFU WA MAVAZI,MANJU MSITA KUPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA KATIKA MOZAMBIQUE FASHION WEEK 'MFW-2014'
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...