Makamu wa Rais wa Shirika la Maendeleo la Japan JICA, Kato Hiroshi  akimueleza jambo Waziri wa Ujenzi, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kuhusu masuala mbalimbali yahusuyo Sekta ya Ujenzi wa barabara nchini wakati alipomtembelea Ofisini kwake  jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akifafanua jambo kwa Makamu wa Rais wa JICA Kato Hiroshi.
 Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Gerson Lwenge ( wapili kulia), akimuuliza  swali  Makamu wa Rais wa JICA Kato Hiroshi  (wa kwanza kushoto) kuhusu miradi mbalimbali inayofadhiliwa na Serikali ya Japan kupitia Shirika  hilo la Maendeleo.
 Baadhi ya wajumbe  kutoka  JICA wakiangalia baadhi ya picha za matukio mbalimbali katika Wizara ya Ujenzi kabla ya mkutano wao na Waziri wa Ujenzi.
Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Makamu wa Rais wa JICA, Kato Hiroshi  mara baada ya kumaliza mkutano wao uliofanyika Wizara ya Ujenzi.


PICHA ZOTE KWA HISANI YA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI, WIZARA YA UJENZI.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Mkumbushe barabara za juu. Dr. Magufuli hapo unahitaji msaada maana umekwama. Mengine yote safi. Kilichobaki flyover.

    ReplyDelete
  2. This explains why after more than 50 years of independence there is not single road in Dar es Salaam built to international standards, thanks to our thieving leaders,...Can you imagine China who is supposed to be our best friend is building three lane highways just next door in Kenya while we end up with sub standard dirt roads in DAR....what a shame!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...