Msimu wa Sikukuu mambo ya vitoweo kama Kuku,Mbuzi na Ng'ombe ndio wakati wake wa kununuliwa kwa wingi na pia kuuzwa kwa bei ya juu ama bei ghali.Pichani ni baadhi ya Wauza Kuku katika kijiji cha Mkambarani nje kidogo ya mji wa Morogoro wakisubiri wateja wao Kuku,ambapo kuku mmoja huuzwa kati ya shilingi 12,000/= mpaka 15,000/=

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...