Msimu wa Sikukuu mambo ya vitoweo kama Kuku,Mbuzi na Ng'ombe ndio wakati wake wa kununuliwa kwa wingi na pia kuuzwa kwa bei ya juu ama bei ghali.Pichani ni baadhi ya Wauza Kuku katika kijiji cha Mkambarani nje kidogo ya mji wa Morogoro wakisubiri wateja wao Kuku,ambapo kuku mmoja huuzwa kati ya shilingi 12,000/= mpaka 15,000/=
Home
Unlabelled
MAMBO YA VITOWEO VYA SIKUKUU BEI YAKE HUWA MOTO KIDOGO .!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...