Sehemu ya Wauguzi wa Jijini Dar es Salaam na wale wa kutoka mikoa ya jirani wakiwa wamejumuika pamoja kuongoza jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Ofisa Muuguzi Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Clavery Mpandana,aliefariki dunia hivi karibuni katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kabla ya kwenda kuzikwa kwenye makaburi ya Kinondoni,jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Uuguzi Agnes Mtawa, (kushoto ) akiwa anaanzisha wimbo katika kumuaga Ofisa Muuguzi Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Clavery Mpandana Dar es Salaam juzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Dar es Salaam juzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili na mazishi yaliyo fanyika katika Makaburi ya Kinondoni Dar es Salaam juzi.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Hakika huyu alikuwa mtu wa watu!
ReplyDeleteHuyu alikuwa mtu wa watu haswa...manake mie nilijua maandamano au mgomo wa madaktari.
ReplyDelete