Kaka Issa Michuzi,

Pole na mihangaiko yako ya kila siku. Kwa kweli kwa upande wangu mambo si mazuri. nasumbuliwa na tatizo la upungufu wa nguvu zetu kwa hiyo ni karaha saana. Sina raha kwa kukosa chakula ya usiku.
Nimeona kwenye blog yako hili tangazo hapa kwenye hii linki:


Ningependa kupata mrejesho toka kwa huyu ndugu lakini naona hajibu tena meseji. Basi nakuomba uliweke hili tangazo kwenye blog yako ili mwenye suluhu aweze kutuelekeza wapi pa kuipata. naomba msaada kaka najua wajua karaha aipatayo mwanamume pale mambo yanapogoma.

Naomba uweke email yangu tujndalwa@yahoo.com ili nisijulikane.

Natanguliza shukrani kaka.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. jitahidi ukafanye workup hospitalini ili kujua source ya tatizo lako na baadaa ya doctor kuchukua historia na kukufanyia examination aataweza kukusaidia ipasavyo.Ni hilo tu asante na pole sana .

    MDAU

    ReplyDelete
  2. Jaribu kuangalia ugonjwa wa kisukari kwanza kama huna punguza mawazo na ufanye mazoezi mepesi na Kula mboga za kijani na vyakula vya baharini usitumie red meat

    ReplyDelete
  3. Hivi kisukari kinaweza kusababisha au kuchangia ukosefu wa chakula ya usiku? Basi naona kwa Mh mmoja wa wizara kubwa sana kule visiwani yeye kwake kisukari chake naona ni tofauti maana ana michepuko balaa hapa bara.

    ReplyDelete
  4. mdau hebu pitiapitia hapa
    http://www.webmd.com/erectile-dysfunction/guide/cialis-levitra-staxyn-viagra-treat-ed

    ReplyDelete
  5. simple, just use VIAGRA and you will fine.

    ReplyDelete
  6. Mbona kuna dawa za kienyeji kibao kwa wamasai, wachina, wafipa, wa.... tatizo hili ni siri za watu lakini wengi wanalo.

    Mi natumia dawa za kienyeji za kichina kwa miezi 2 sasa na napiga mashine ile mbaya.

    kama umri wako ni 40+ si ajabu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...