Mtunzi mkongwe wa vitabu Zanzibar Bi. Fatma Moh’d Salim (Jinja) akionyesha vitabu vya hadithi za kale alivyovitunga, katika sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo zilizofanyika nyumbani kwake Chukwani Zanzibar.
Mwandishi wa Habari wa Redio Annur Fm Kasim Khamis akimuuliza suali Bi. Fatma Jinja kuhusiana na utunzi wa vitabu vyake alivyo vizindua.
Baadhi ya waalikwa waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo wakimskiliza Bi. Fatma Jinja (hayupo pichani) alipokuwa akitoa maelezo juu ya utunzi wa vitabu hivyo .
Waandishi wa Habari wakifanya mahojiano na mtunzi wa vitabu Bi. Fatma Jinja huko nyumbani kwake Chukwani Zanzibar baada ya uzinduzi wa vitabu vyake. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
Congrats tons Madame, Looking forward to read these books.God Bless U.AMIN!!!!!!!!!!
ReplyDeleteNapenda nichangie kidogo kuhusu vitabu hivyo , kwani Zanzibar haina Hadith za kale ila hizo ? na ikiwa sivyo kwanini kupewa kipau mbele na anuani za vitabu hazijuilishi kuwa ni vya hadithi za kuhusu Zanzibar. Ningelipenda ufafanuzi kidogo.
ReplyDelete