Magari yakipita katika moja ya barabara za jiji la Arusha leo huku mvua kubwa ya mawe ikinyesha. Hakuna madhara ya aina yoyote yaliyoripotiwa hadi sasa ila baridi ni kali kiasi
 Sehemu ya vidonge vya barafu vilivyonyesha jijini Arusha leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...