Zaidi ya abiria 50 wamenusurika kifo eneo la mlima nyoka mkoani Mbeya baada ya Basi la Mbukio Mission lililokuwa linatoka Mbeya kuelekea Dsm kugongana na Lori .Habari kamili tutawaletea kwenye blog yetu ya mbeya yetu sasa tupo kwenye tukio.Kwa hisani ya MbeyaYetu Blog.
Baadhi ya Abiria walionusurika kifo kwenye ajali hiyo wakishangaa.
Baadhi ya Makodakta wa basi hilo badala ya kujali roho za watu wao wanahangaika kuziba jina la Basi,  ajali hii imetokea leo asubuhi maeneo ya mlima nyoka zaidi ya abiria 50 wamenusurika kifo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Washenzi sana hawa madereva na makonda kila siku ajali haziishi sababu hawana ujuzi wa udereva, reseni zao za kuchakachua

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...