Familia ya Marehemu Mzee Alexander George Mushema inapenda kutoa shukurani kwa wale wote walio shiriki na kutufariji katika kipindi kigumu cha kuwapoteza wapendwa wetu kaka yetu Robert Deusdedit Kamashaija aliyefariki 26 November 2014 na baba yetu Alexander George Mushema aliyefariki tarehe 13 November 2014. 

Shukurani ziende kwa madaktari wa Hospitali ya Mkoa Bukoba, Serikali ya Tanzania, Chuo Kikuu cha Uppsala Sweden.

Hatuwezi kumtaja kila mmoja lakini tunatanguliza shukurani zetu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. POLENI SANA
    RIP

    ReplyDelete
  2. R.I.P
    Poleni sana wafiwa

    ReplyDelete
  3. Poleni sana familia ya Mzee Mushema.

    Nakumbuka Deus ukiwa jirani yetu Oysterbay na shule ya Msingi miaka mingi iliyopita.

    Mungu apumzishe roho zenu, Amen.

    Mdau
    London,UK

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...