MZEE RAYMOND KULLAYA

BI FORTUNATA RAYMOND (MENEJA NHIF MKOA WA LINDI) ANASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA BABA YAO MPENDWA MZEE RAYMOND KULLAYA KILICHOTOKEA TAREHE 21/12/2014 HOSPITALI YA DR. MVUNGI KINONDONI DAR ES SALAAM.

MAZISHI YATAFANYIKA TAREHE 30/12/2014 KIJIJI CHA CHEKERENI-MOSHI.

IBADA YA KUMUOMBEA MAREHEMU NA SHUGHULI ZA KUAGA KABLA YA SAFARI YA KUELEKEA MOSHI KWA MAZISHI ITAFANYIKA KATIKA KANISA KATOLIKI HANANASIFU KINONDONI SAA 6:00 TAREHE 29/12/2014.

HABARI ZIWAFIKIE NDUGU JAMAA NA MARAFIKI POPOTE WALIPO

***BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA,JINA LA BWANA LIHIMIDIWE***

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...