
Timu
ya Tanzania jana wailiichapa timu ya EALA mabao 4 kwa 0 ambapo Mh.
Joshua Nassari alifunga bao la kwanza na bao la pili kufungwa na na
mchezaji mahiri Yusuph Gogo na la tatu kufungwa na Ahmed Ngwali na bao
la nne timu ya EALAwalijifunga wao wenyewe kupitia kwa beki wao Wyclif
Keto katika harakati za kuokoa mpira
Mashabiki wakiwa wanafatilia mpambano kati ya Tanzania na Bunge la EALA jana katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...