SAM_0069Timu ya Tanzania.
 
Timu ya Tanzania jana wailiichapa timu ya EALA mabao 4 kwa 0 ambapo Mh. Joshua Nassari alifunga bao la kwanza na bao la pili kufungwa na na mchezaji mahiri Yusuph Gogo na la tatu kufungwa na Ahmed Ngwali na bao la  nne timu ya EALAwalijifunga wao wenyewe kupitia kwa beki wao Wyclif Keto katika harakati za kuokoa mpira
SAM_0070Timu ya EALA
SAM_0073Naibu Waziri   wa  Fedha   Adam  Malima kiongozi wa timu ya Tanzania akiwa katika picha ya pamoja na waamuzi wa mechi kati ya Tanzania na EALA jana katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha
SAM_0077
Mashabiki wakiwa wanafatilia mpambano kati ya Tanzania na Bunge la EALA jana katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha
SAM_0080Mlinda malango timu ya Tanzania Mh.Idd Azan akijiweka sawa golini kuhakikisha magoli hayaingii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...