KESHO ni siku ya Siku kuu,
pasi na shaka hakuna mtu ambaye halijui hilo.
Siku kuu ya Krisimasi na mwaka mpya ni siku kuu
ambazo hufuatana na kwa desturi ya ushirikiano tulio nao hapa nchini siku hizi
hatubagui hatuchagui kila mtu hufurahi pamoja na mwenzake.
Furaha hii ni pale wana jamii walio na mirengo
tofauti ya kiimani wanapojumuika pamoja na kufurahia, waumini wa dini ya
Kikristo walio wengi kesho wanasherehekea kuzaliwa kwa Masia Yesu Kristo.
Lakini kidoogo tujikumbushe kuzaliwa kwa Yesu
Kiristo kulikuaje; Maandiko matakatifu kutoka katika Kitabu cha Biblia Matayo
1:18-21 kunaelezea wazi namna Yesu Kristo alivyo zaliwa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...