Kushoto Waziri mh. Fatma Fereji kutoka Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar, Kulia Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Rais mazingira mh.dkt Binilith Mahenge wakifuatilia hotuba ya katibu mkuu wa umoja wa Mataifa Bw Ban ki Moon hayupo pichani katika ufunguzi wa mkutano wa 20 wa nchi wanachama wa mkataba wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya tabia nchi ulihusisha viongozi wa juu marais na mawaziri..(High level segment) mjini Lima, Peru.
Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. dkt Gharib Bilal..akisoma Hotuba kumuwakilisha mh Rais Jakaya mrisho KIkwete,ambae ni Rais wa Mazingira Africa (CAHOSSC) katika ufunguzi wa mkutano wa mawaziri na marais (High level segment) uliofunguliwa leo mjini LIma, Peru
Katibu Mkuu wa umoja wa mataifa Bw. Ban Ki Moon akisoma hotuma ya ufunguzi wa mkutano wa mawaziri wa mazingira na marais katika mkutano wa high level segment mjini Lima, Peru. Picha na Evelyn Mkokoi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...