Mchezaji wa Timu ya Vodacom Tanzania, Osca Coby akiwatoka wachezaji wa Timu ya CRDB katika fainali ya ligi za makampuni iliyofanyika kwenye Viwanja vya Shule ya Laureate International School jijini Dar es Salaam,CRDB waliilaza Vodacom1-0.
Mchezaji wa Timu ya Vodacom, Carlos Sylvester (kushoto) akitafuta mbinu ya kumtoka mchezaji wa timu ya, BQ CONTRACTORS, Emil Michael katika fainali ya ligi ya makampuni iliyofanyika kwenye Viwanja vya Shule ya Laureate International School jijini Dar es Salaam,BQ CONTRACTORS ilishinda 3-1.
Ofisa rasilimali watu wa Vodacom Tanzania, Ndihagati Biduga akishangilia baada ya timu yake kupata goli la kufutia machozi wakati wa fainali za makampuni ambapo Vodacom ilishindwa na BQ CONTRACTORS 3-1, mchezo huo uliofanyika kwenye Viwanja vya Shule ya Laureate International School jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...