Wadau wa Globu ya Jamii wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kulamba Nondooz zao za Banking and Finance katika Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) jijini Dar es Salaam hivi juzi.Pichani toka Husna,Hamisa,Julliez,Evamary.Updesh,Miriam na Lydia waki na nyuso za furaha kabisa.
Wadau Julliez na Mirium Wakifurahia baada ya kupata nondoz zao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hongera kwa kupata shahada karibuni katika kutumia ujuzi mliopata kubadilisha nchi yenu ya Tanzania.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...