Baadhi ya watu wenye ulemavu wakifurahia nyimbo iliyokua ikiimbwa na kikundi cha shule ya msingi Mweleni(hakipo pichani) |
Mgeni rasmi katika siku ya Wenye ulemavu duniani afande Grace Lyimo akiwa na viongozi wengine meza kuu wakati wa maadhimisho ya siku hiyo yaliyofanyika katika viwanja vya kituo kikuu cha mabasi mjini Moshi.Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii kanda ya kaskazini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...