Waziri mkuu mstaafu Frederic Sumaye akihutubia katika mahafali ya kumi na tatu ya chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Royal yaliyofanyika leo katika Ukumbi wa Mawela Sinza.
 Wadau wa sekta ya habari wakiwa wamepozi baada ya kuhitimu katika chuo cha RCT,pichani ni baadhi ya wahitimu kutoka  Guardian wakiwa na mpigapicha mkongwe Juma Dihule.
 pichani ni baadhi ya wahitimu. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...