Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa,Mh. Mboni Mhita (kushoto) akimpongeza Mwenyekiti Mpya wa Serikali ya Mtaa wa Masaki,Kinondoni Jijini Dar es Salaam,Ndg. Kimweri Mhita wakati wa hafla fupi ya kumpongeza mara baada ya kuapishwa kwake,Kimweri ni mmoja wa Wenyeviti wapya waliochagulia katika Uchaguzi uliofanyika hivi karibuni nchini kote. 
Mwenyekiti Mpya wa Serikali ya Mtaa wa Masaki,Kinondoni Jijini Dar es Salaam,Ndg. Kimweri Mhita (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wazazi wake,Dkt. Mohamed Mhita (kushoto) na Mh. Zabein Mhita (Mbunge wa Jimbo la Kondoa Kaskazini) wakati wa hafla fupi ya kumpongeza mara baada ya kuapishwa kwake,Jijini Dar es Salaam jana. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...