Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Nurdin Babu (kushoto) akimuongoza Kiongozi wa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Amina Makilagi aliyeambatana na wajumbe wengine wa kamati hiyo baada ya kuwasili ofisi za Mradi wa Maji Kibiti ulioko wilayani humo mkoani Pwani kabla ya kuukagua.Ukaguzi wa mradi huo ni sehemu ya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maji katika mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara inayofanywa na wajumbe wa Kamati hiyo.
Kiongozi wa Wajumbe wa Kamati Amina Makilagi akipanda ngazi za tanki la maji la mradi wa maji wa Kibiti wakati akikagua mradi huo, huku Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Nurdin Babu na watendaji wengine wakishuhudia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Huyu mama jasiri kupanda ngazi na kitenge.

    ReplyDelete
  2. Mdau wa mwanzo hapo juu usinifurahishe, tena mguuni na ka 'skuna' kake bila woga. Pengine hakutarajia kama kuna kuparamia huko juu ya hilo 'tangi' huenda angekuja kavalia' accordingly'. Hata hivyo hongera sana mwanakamati Bi Amina Makilagi kupanda na kuteremka salama.

    ReplyDelete
  3. Uongozi taabu imemlazibu kupanda

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...