CASSIAN KIGESO MALIMA

Ni kama jana tu lakini tayari leo imetimia miaka 6 tangu Mpendwa wetu Cassian Kigeso Malima ulipotutoka ghafla jioni ya tarehe 9 Januari 2009 katika hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam na kupumzishwa katika makao ya milele kwenye makaburi ya Mwisenge, Musoma mjini tarehe 14 Januari 2009.
 Daima tutakukumbuka kwa upole, ucheshi na uchapakazi wakati wa uhai wako. Tunamuomba Mungu wa Rehema aendelee kukupumzisha kwake katika amani ya milele. Amina.


1 Wathesalonike 4:13-14 (Maana, ikiwa twaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka, vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye. Kwa kuwa twawaambieni haya kwa neno la Bwana, kwamba sisi tulio hai, tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia wao waliokwisha kulala mauti). 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...