Na Bashir Yakub
Wakati
mwingine migogoro ya ardhi inasababishwa na kutojua. Wengi hawajui taratatibu
na ndio maana hujikuta wanainga katika matatizo. Moja ya maeneo ambako watu
wamekuwa wakipatia matatizo ni huu wakati wa kununua.
Yapo mambo mengi unapoununua ardhi, nyumba au
kiwanja ambayo wewe kama mnunuzi unatakiwa kuyajua na kuyazingatia ili usiingie
katika matatizo. Nimefanya utafiti
katika kesi za ardhi mahakamani na kugundua kuwa moja ya eneo baya linalowaingiza watu mkenge
ni hili la mume kuuza nyumba au
kiwanja bila kupata ridhaa ya mke wake.
Ikumbukwe kuwa suala la ridhaa hapa sio suala la hiyari
isipokuwa ni suala la lazima na la kisheria ambalo kutolitekeleza kwake
kunaweza kupelekea mnunuzi kupoteza kile alichokinunua. Ni hatari ndugu na
umakini unahitajika.Mume anapouza nyumba/kiwanja kuna kitu huitwa ridhaa ya
mwanandoa ambacho ni lazima akisaini, tutaona.
Mke au Mume wa mnunuzi...kwani lazima iwe ni mume tu anauza???
ReplyDeleteasante sana kwa darasa zuri na moyo wa kuitumia elimu yako kwa jamii, msisitizo wangu tu hapa ni kwamba hiyo mali lazima iwe ni matrimonial property kwani kuna mali nyingine ambazo si za wanandoa
ReplyDeleteAnkal, naomba kuuliza mbona hujatuwekea picha na hotuba ya Mh Rais ya Ijumaa iliopita katika sherehe za sherry party na wabalozi?
ReplyDeleteUnamaanisha mke wa muuzaji
ReplyDelete