Watoto kutoka mikoa Mbalimbali ya Tanzania katika picha ya pamoja na Paul Ngusa (katikati)Msaidizi wa Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma, Ummy Jamaly (wa pili kulia) Mwenyekiti wa Baraza la Watoto la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rauhiya Ameir (wa kwanza kulia) Makamu Mwenyekiti, Jaqueline Namfua (wa pili kushoto) Afisa Habari UNICEF, Christopher Mushi (wa kwanza kushoto) Afisa Maendeleo ya Jamii Mwandamizi Wizara Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto.
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Watoto la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiwa katika Mkutano huo.

SOMA HABARI KAMILI HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...