Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) alipokuwa akiongoza Kikao cha kawaida cha Kamati Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja (kushoto) Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein.
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja.
eskrow itajadiliwa hapa kweli
ReplyDeleteHongereni CCm ila mimi ni mkereketwa sana wa ccm japo wanachama ndio wabaya ila chama sio kibaya sasa cha kusema tu angalieni msije kuweka watu ambao washaharibu tukaja kuanguka kwenye uchaguzi huu kwani hata mtaani kwangu aliyepita kaibaa kwani mtu huwezi kushinda kwa kura moja mwanaccm kama sio uongo kuna jambo
ReplyDelete