Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua pazia kuzindua nyumba za kisasa za makazi ya wanajeshi akisaidiana na Balozi wa China nchini Mhe Lu Youqing, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga taifa Dkt Hussein Mwinyi na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange Gongo la Mboto jijini Dar es salaam leo Jumamosi Januari 10, 2015.
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili tayari kuzindua nyumba za kisasa za makazi ya wanajeshi Gongo la Mboto jijini Dar es salaam leo Jumamosi Januari 10, 2015.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Kichwa cha habari kinasema Godo la Mboto. Tafadhali rekebisha ni Gongo la Mboto

    ReplyDelete
  2. Bora wasipikiea mkaa!

    ReplyDelete
  3. Afadhali kumbe tunaweza tukiacha wizi Magereza wajenzi mnao na nyie fanyeni vitu vyenu nawaaminia

    ReplyDelete
  4. Wow maghorofa mazuri ya jeshi kama yale ya pale mwenge dar es salaam....

    ReplyDelete
  5. Mh kweli mdau wa pili bora wasipikie mkaa na waimarishe usafi ili zibakia hivyo hivyo!

    ReplyDelete
  6. Mnawajua wabongo nyie au mnasikia tu?? Mkaa kama kawa kama dawa tena miezi 6 tu ghorofa choka mbaya mikojo kila kona kunuka.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...