Mmoja wa wakazi wa Unguja Ukuu-Kae Pwani akimuweka vizuri samaki aina ya Taachui baada ya kuandaliwa kwa ajili ya kuuzwa katika soko la samaki,ambapo kwa mujibu wa wakazi wa eneo hilo samaki huyo huuzwa jumla kati ya shilingi 40,000/= mpaka 50,000/=,na kwa kipande kipande huuzwa kati ya 25000/= mpaka 3000/=
 Mdau wa ITV,Jonh Chacha akishangaa samaki huyo aina ya Taachui,ambaye mkia wake wakati mwingine hutumika kama mjeredi wa kuchapia punda ama vinginevyo


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...