WAENDESHA bodaboda na wamiliki wake walijimwaya na bonge la burudani kutoka kwa Malkia wa Mipasho, Khadija Kopa na kundi lake la Ogopa Kopa Modern Taarab sambamba na mkali wa muziki wa Kigodoro, Msaga Sumu, kwenye tamasha lao lililofanyika Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala-Zakhiem jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
Khadija Kopa akijipinda kimadaha wakati akifanya ‘mavituz’ stejini.
Kundi la Ogopa Kopa kazini
Shadya Chotara naye akionesha makali yake.
Mashabiki wakifurahia burudani.

WAENDESHA  bodaboda na wamiliki wake walijimwaya na bonge la burudani kutoka kwa Malkia wa Mipasho, Khadija Kopa na kundi lake la Ogopa Kopa Modern Taarab sambamba na mkali wa muziki wa Kigodoro, Msaga Sumu, kwenye tamasha lao lililofanyika Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala-Zakhiem jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
PICHA : RICHARD BUKOS/GPL. 
Picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...