Ndugu Wananchi,
Kuna matukio mengi ya kuteka anuani za watu na kuzitumia kwa maovu hasa kuombea misaada n.k.
Endapo janga hili litakukuta wasiliana nasi ili tuokoe anuani na jumbe zako pamoja na kuzuia maafa yatokanayo na uhalifu huu.Tujulishe mara moja kwa kutuma SMS kwenye simu ifuatayo:
+81-90-8498-9270
Huduma hii ni ya majaribio itatolewa
bure hadi tarehe 30/6/2015.
sent by T.J.Martin.
Kuna matukio mengi ya kuteka anuani za watu na kuzitumia kwa maovu hasa kuombea misaada n.k.
Endapo janga hili litakukuta wasiliana nasi ili tuokoe anuani na jumbe zako pamoja na kuzuia maafa yatokanayo na uhalifu huu.Tujulishe mara moja kwa kutuma SMS kwenye simu ifuatayo:
+81-90-8498-9270
Huduma hii ni ya majaribio itatolewa
bure hadi tarehe 30/6/2015.
sent by T.J.Martin.
Tanzania imekuwa easy target kwa hao wahuni kudanganya, hiyo ni kutokana na utamaduni wetu wa kuomba omba misaada. Kama tungekuwa hatutegemeani hayo mambo ya e-mail za kuomba omba itakuwa hazipo.
ReplyDeletenyie ni akina nani? mbona hamjitambulishi ili tuwajue? isije ikawa na nyie ni walewale na mkipiata hata hizo namba za simu mnaanza kuzifukunyua kama hackers wa email
ReplyDeleteJapan siku hizi wanatuma SMS. Nilipokuwepo ilikuwa wanatumia email tu. SMS zilikuwa hazitumiki kwa SIM card za Japan.
ReplyDelete