Kutoka
kushoto ni Meneja wa Coca- Cola, Yebeital Getachew, Mkurugenzi Mtendaji
wa Coca Cola Kwanza, Basil Gadzios, Meneja Masoko wa Coca-Cola Kwanza,
Hettiarachchi na Msimamizi wa Masoko Coca-Cola Kwanza, Josephine
Msalilwa wakionyesha muonekano mpya wa chupa ya maji ya Dasani baada
wakati wa uzinduzi.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Coca Cola Kwanza, Basil Gadzios akifafanua jambo kwa
waandishi wa habari mara baada ya kuzindua upya maji ya Dasani.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...