Kamishna wa Kazi na Utumishi wa Umma Zanzibar Mr. Kubingwa
Mashaka Simba akitoa nasaha na kufunga Mafunzo ya siku tu ya matumizi sahihi ya
Mitandao ya kijamii (Social Media) yaliyofanyika Shule ya VIP mwanakwerekwe
Mjini Zanzibar (kulia) Mwenyekiti wa Jumuiya ya Elimu Zanzibar (ZEDO) Ussi Said
Suleiman na (kushoto) Mjumbe wa kamati ya wazazi Ndugu. Makame Ameri Yusuf.
Kamishna wa Kazi na Utumishi wa Umma Zanzibar Mr. Kubingwa
Mashaka Simba akimkabidhi Cheti mmoja wa wanafunzi wa (Social Media) Suhaila
Humoud Hilal.
Mgeni Rasmin Kamishna wa Kazi na Utumishi
wa Umma Zanzibar
Mr. Kubingwa Mashaka Simba (wakatikati) waliokaa wakiwa katika picha ya pamoja
na baadhi ya wahitimu wa Mafunzo ya siku tatu ya matumizi ya Mitandao ya
kijamii (Social Media).
Baadhi ya wahitimu wa Mafunzo ya siku
tatu ya matumizi ya Mitandao ya kijamii (Social Media) wakionyesha veti vyao.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Elimu Zanzibar (ZEDO) Ussi Said Suleiman (kulia) akimkaribisha Kamishna wa Kazi na Utumishi wa Umma Mr. Kubingwa Mashaka Simba katika hafla ya ufungaji wa mafunzo ya siku tatu ya matumizi ya Mitandao ya kijamii (Social Media) yaliyofanyika Shule ya VIP mwanakwerekwe Mjini Zanzibar. (Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...