Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato Duniani kwenye sherehe za uzinduzi wa Utume (MISSION EXTRAVAGANZA) zilizofanyika leo Februari 06,2015 uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato Duniani wakiwa kwenye maandamano wakati wa sherehe za uzinduzi wa Utume (MISSION EXTRAVAGANZA) wa kanisa hilo zilizofanyika leo Februari 06,2015 uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato Duniani wakiwa kwenye maandamano wakati wa sherehe za uzinduzi wa Utume (MISSION EXTRAVAGANZA) wa kanisa hilo zilizofanyika leo Februari 06,2015 uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal na Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Duniani Dkt. Ted Wilson katikati, wakiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Dini mbalimbali kwenye uzinduzi wa sherehe za Utume (MISSION EXTRAVAGANZA) za kanisa hilo zilizofanyika leo Februari 06,2015 uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Duniani Dkt. Ted Wilson baada ya kuzindua sherehe za Utume (MISSION EXTRAVAGANZA) za kanisa hilo zilizofanyika leo Februari 06,2013 uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. (Picha na OMR)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...