Mkuu wa Idara ya Cartels (Makubaliano
yanayodhirisha ushindani) kutoka Tume ya Ushindani Dar es
Salaam,Shedrack Nkelebe akisisitiza jambo kwenye semina hiyo
iliyohusisha wataalamu wa manunuzi na ugavi kutoka taasisi mbalimbali
juu ya manunuzi yanayozingatia thamani (Value for Money) iliyofanyika
kwenye hotel ya Tanga Beach Resort mjini Tanga.
Habari kamili na picha zaidi BOFYA HAPA
Habari kamili na picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...