Naibu Waziri wa Maji ,Amos Makala akitembelea eneo la mradi mkubwa wa Maji unaojengwa katika kijiji cha Kirya wilayani Mwanga. |
Naibu waziri wa Maji Amosi Makala
akizungumza jambo na meneja mshauri wa mradi Sharif Saleh mara baada
ya kukagua mitambo maalumu kwa ajili ya maandalizi ya ujenzi wa mradi
huo. |
Naibu waziri wa Maji Amosi Makala akifurahia
jambo na meneja mshauri wa mradi mkubwa wa maji wa Mwanga Korogwe
Sharif Salehmara baada ya kuangalia maadalizi ya ujenzi wa mradi
huo. PICHA ZAIDI BOFYA HAPA. |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...