Mkurugenzi
wa Kampuni ya Msama Promotions Ltd,Bwa Alex Msama akifafanua zaidi kwa
Wanahabari kuhusiana na tamasha hilo ambalo mwaka huu linatimiza miaka
15 tangu kuanzishwa kwake.
Baadhi ya waandishi wa habari wakichukua taarifa ya Bw. Alex Msama.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...