Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (wa tatu kutoka kushoto) akiwa kwenye mazungumzo na Ujumbe wa
Viongozi wa Makundi ya Chama cha SPLM cha Sudan ya Kusini
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (wa tatu kutoka kushoto) akiwa kwenye picha ya na Ujumbe wa Viongozi wa Makundi ya Chama cha SPLM cha Sudan ya Kusini
Ujumbe wa Viongozi wa Makundi ya Chama cha SPLM cha Sudan ya Kusini yalifanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana mjini Dar es Salaam jana.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (wa tatu kutoka kushoto) akiwa kwenye picha ya na Ujumbe wa Viongozi wa Makundi ya Chama cha SPLM cha Sudan ya Kusini
Ujumbe wa Viongozi wa Makundi ya Chama cha SPLM cha Sudan ya Kusini yalifanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana mjini Dar es Salaam jana.
Mazungumzo
haya yalilenga kuandaa utekelezaji wa maazimio yaliyofikiwa mjini Arusha mwezi wa januari tarehe 21 ambayo yanalenga
kuyaunganisha makundi matatu katika chama cha SPLM kurudisha Amani na kuunda
Serikali itakayowajumuisha viongozi kutoka makundi yote.
Katika
mazungumzo ya jana makundi haya yamekubaliana kuendelea na mkakati wa utekelezaji wa makubaliano ya Arusha kwa
lengo la kuandaa utaratibu wa viongozi
wa makundi yote kurudi Sudan ya Kusini mapema iwezekanavyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...