Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Binafsi, namshukuru na kumpongeza Kamanda Kova kwa ufafanuzi wake. Utaratibu huu wa kufafanua mambo utapunguza na labda kufuta dhana zilizojengeka vichwani mwa wengi wetu kwamba polisi wanafanya shughuli kwa shinikizo au faida ya CCM dhidi ya wapinzani. Napenda nitamke hapa kuwa mimi ni raia ambaye sina chama.

    Polisi wanayo fursa ya kusafisha hali ya hewa, na alichofanya Kamanda Kova ndio njia itakiwayo. Kila la heri, Kamanda.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...