Familia ya Marehemu Mzee Lwanda na Mama wa Nyasa - Ruvuma wanasikitika kutangaza kifo cha kijana wao mpendwa Samwel Lwanda (SAM Macheni) kilichotokea tarehe 25/02/2015 katika hospitali ya Regency jijini Dar es salaam kwa kuugua gafla. Marehemu alikuwa mwajiriwa katika manispaa ya jiji la Mbeya.
Kwa mujibu wa msemaji wa familia marehemu ataagwa leo nyumbani kwake maeneo ya Boko jijini Dar es lsaam na kwenda kuzikwa Mkoani Tanga (Tanga mjini) siku ya kesho ya tarehe 28/02/2015.
Kwa mawasiliano zaidi piga namba:
Arch asahel
Blog yenu inatoa pole kwa wale wote waliofikwa na msiba huu, tunasema tuko pamoja katika kipindi hiki kigumu cha majonzi.
Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Amen
RIP. SAM
ReplyDelete