Familia ya Marehemu Mzee Lwanda na Mama wa Nyasa - Ruvuma wanasikitika kutangaza kifo cha kijana wao mpendwa Samwel Lwanda (SAM Macheni) kilichotokea tarehe 25/02/2015 katika hospitali ya Regency jijini Dar es salaam kwa kuugua gafla. Marehemu alikuwa mwajiriwa katika manispaa ya jiji la Mbeya. 

Kwa mujibu wa msemaji wa familia marehemu ataagwa leo nyumbani kwake maeneo ya Boko jijini Dar es lsaam na kwenda kuzikwa Mkoani Tanga (Tanga mjini) siku ya kesho ya tarehe 28/02/2015. 

Kwa mawasiliano zaidi piga namba: 
Arch asahel

Blog yenu inatoa pole kwa wale wote waliofikwa na msiba huu, tunasema tuko pamoja katika kipindi hiki kigumu cha majonzi.

Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe. 
Amen

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...