Mwakilishi
wa Jimbo la Mpendae, Said Mohammed Dimwa akikata utepe ikiwa ni ishara
ya uzinduzi wa kisima cha maji kwa wananchi wa Mpendae kilichochimbwa
kwa udhamini wa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL). Wa pili kulia ni
Meneja Uhusiano wa TBL, Doris Malulu.
Mwakilishi
wa Jimbo la Mpendae, Zanzibar, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Uvuvi na
Misitu, Mohammed Dimwa akimshukuru Ofisa Uhusiano wa TBL, Doris Malulu
baada ya kisima cha maji kilichochimbwa kwa msaada na TBL, katika Jimbo
hilo. Hafla hiyo Zanzibar, mwishoni mwa wiki.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...