Warembo kutoka Thailand wakiwa Wametulia nje ya Mlango wa Banda lao ikiwa ni ubunifu wa kuwavutia na kuwafurahisha Wateja wanaoingia katika Banda lao kujionea bidhaa mbalimnali za nchi yao katika Maonesho ya Kimatifa ya Sanaa,ubunifu na Utamaduni yanayofanyika Mascut-Oman
Bunduki ni miongoni mwa zana zinazotumika katika ngoma ya Asili kutoka nchini Moroko. Pichani Wasanii hao wakitumbuiza nje ya banda lao kuvutia wateja kujionea bidhaa mbalimbali za nchi yao katika maonesho ya Kimataifa ya Sanaa,ubunifu na utamaduni. Picha na Faki Mjaka-Mascut Oman
Wasanii wa Ngoma za Asili kutoka Tanzania wakitumbuiza nje ya Mlangoni wa Banda lao la Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni Mascut nchini Oman. Utumbuizaji wa ngoma ni mfumo wanaoutumia katika kuwavutia na kuwafurahisha Wateja kuingia katika Banda la Tanzania kwenye Maonesho hayo. Pichani ni Ngoma ya Msewe yenye asili ya Zanzibar. Picha na Faki Mjaka.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...