Mwenyekiti
wa Bodi ya Udhamini wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF Profesa, Hasa Mlawa
(kulia), akimkabidhi Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa
na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia picha yenye nembo ya mfuko
huo kwenye hafla ya uzinduzi wa bodi mpya ya wadhamini ya mfuko wa
LAPF na kuiaga bodi iliyomaliza muda wake iliyofanyika makao makuu ya
mfuko huo Dar es Salaam jana.
Mwenyekiti
wa Bodi ya Udhamini wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF Profesa, Hasa Mlawa
(kulia), akimkabidhi Waziri wa Kazi na Ajira Gaudentia Kabaka picha
yenye nembo ya mfuko huo kwenye hafla ya uzinduzi wa bodi mpya ya
wadhamini ya mfuko wa LAPF na kuiaga bodi iliyomaliza muda wake
iliyofanyika makao makuu ya mfuko huo Dar es Salaam jana. Kushoto ni
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
(Tamisemi), Hawa Ghasia.
Wajumbe wapya wa bodi ya LAPF
Mgeni rasmi wa uzinduzi huo Waziri Hawa Ghasia (katikati mbele waliokaa), akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa bodi ya zamani ya LAPF iliyomaliza muda wake. Kushoto kwa waziri Ghasia ni Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka ambaye wizara yake inasimamia mifuko hiyo ya kijamii.
Mgeni rasmi wa uzinduzi huo Waziri Hawa Ghasia (katikati mbele waliokaa), akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wapya wa bodi ya LAPF.
Wajumbe wa bodi ya LAPF iliyomaliza muda wake.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...