Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu akizungumza na watumishi na viongozi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango (Hawapo pichani) wakati alipofanya ziara ya kujitambulisha kwa Tume ya Mipango.
Baadhi ya viongozi waandamizi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango wakimsikiliza kwa makini Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu (Kulia) wakati alipofanya ziara ya kujitambulisha kwa Tume ya Mipango.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...