“Zanlink ambayo sasa inatumia teknolojia ya FIBER, inapenda kuwatangazia kuwa imeanzisha kifurushi cha huduma ya mtandao katika fiber, ambacho kinaitwa “Home Pack”. 
Huduma ya kifurushi hiki kinapatikana kwa wateja wanaokaa maeneo ya Stone town, Mlandege, Mbweni, Chukwani, Mazizini, Kiembe Samaki na Mombasa. Maeneo mengine yatafuata karibuni
Kifurushi hiki kinapatikana kwa bei nafuu na ni mahususi kwa watumiaji wa majumbani wa huduma ya mtandao (internet), kina spidi ya 512 kbps muda wa mchana na spidi ya 2 mbps muda wa usiku na wikend. Kwa maelezo zaidi unaombwa ufike ofisi yetu iliyopo  mtaa wa Vuga baina ya Sinema ya zamani ya Majestik na ofisi za zamani za SUZA.
Sasa unaweza kujiunga na kufurahia huduma ya uhakika na ya bei nafuu kwenye Fiber.” 

“Get FIBER”
“Zanlink which is now on Fiber, is happy to inform you that it has launched fiber business internet packages which have high speeds to meet your daily business bandwidth requirements. These service plans are currently available to customers within the Stone town, Mlandege, Mbweni, Chukwani, Mazizini, Kiembe Samaki and Mombasa areas. Other areas will follow soon.
Due to the importance bandwidth speeds for business use, we have plans that have data caps with speeds ranging from 2 mbps to 4 mbps as well as various unlimited bandwidth plans to ensure you have the highest speeds available. For more information on how to get FIBER, please visit our office along Vuga Street, right between the Old Majestic Cinema and the former SUZA office building and get “Fibered”.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...