Na Bashir
Yakub.
Wako
watu ambao wamekuwa
wakipata matatizo mbalimbali ya
ardhi lakini wasijue
la kufanya.
Kati
ya hao wapo
ambao migogoro imeanzia
mikononi mwao na
wengine wamerithi migogoro
hiyo kutoka kwa wazazi
au ndugu zao.
Yote
kwa yote iwe
mgogoro umeanzia mikononi
mwako au umeurithi
bado mgogoro ni mgogoro
na lazima utafute jambo
la kufanya ili
kuumaliza. Nitakachoeleza hapa
ni namna
gani waweza kumaliza
mgogoro wa ardhi
kwa kutumia vyombo tulivyonavyo
pamoja na sheria
zetu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...